February 26, 2015


Kiungo Simon Sserunkuma amerejea kwao Uganda kutokana na mafanikio ya kifamilia.


Taarifa kutoka ndani ya Simba zimeeleza Sserunkuma amerudi Uganda kwa ajili ya shughuli ya arobaini ya mmoja wa wazazi wake.

Sserunkuma ameondoka wakati Simba ikijianda akupambana na Prisons, keshokutwa.

Kocha wa Simba, Goran Kopunovic ameonekana kutomuamini sana Simon na mara nyingi amekuwa akimuingiza katika kipindi cha pili.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic