February 26, 2015



Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepangwa Kundi A katika michuano  ya kombe la COSAFA nchini Afrika Kusini.

Kundi A:
Tanzania, Namibia, Lesotho na Zimbabwe.
Kundi B:
Shelisheli, Madagascar, Mauritius na Swaziland.

Michuano ya kombe la Cosafa inatarajiwa kuanza kutimua vumbi katikati ya mwezi Mei mwaka huu nchini Afrika Kusini.



Katika kila kundi, timu zote zitacheza michezo mitatu na mshindi wa kila kundi ataingia katika hatua inayofuata ya robo fainali itakayozijumuisha nchi za  Afrika Kusini, Botswana, Ghana, Malawi, Msumbuji na Zambia ambazo zimeingia katika hatua ya pili kutokana na nafasi zao kwenye msimamo wa viwango vya FIFA.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic