Wenyeji wa michuano ya Afcon, Equatorial Guinea
wamefuzu hatua ya nusu fainali kwa kuwang’oa vigogo Tunisia
Ubingwa huo
ulipatikana katika dakika 12 za nyongeza katika mechi hiyo katika mji wa Bata
na kuamsha sherehe kubwa kwa wenyeji waliokuwa hawapewi nafasi
Shujaa wa wenyeji hao ni winga wa zamani wa Real
Madrid, Javier Balboa aliyefunga bao la pili katika dakika za nyongeza na kuipa
timu yake ushindi wa mabao 2-1.
0 COMMENTS:
Post a Comment