March 19, 2015

Kocha Carlo Ancelotti anaonekana ameanza kukitengeneza kikosi chake kisaikolojia kabla ya mechi ya El Clasico dhidi ya Barcelona, Jumapili.

Ancelotti aliamua kuingia mfukoni na kutoa fedha zake kuwapeleka wachezaji wake kula chakula cha usiku kwa pamoja.

Inaonekana amelenga kuwafanya wajione wapo pamoja kamafamilia.

Madrid wanakutana na Barcelona wakiwa wanatoka katika hali ya kuhangaika na kiwango chao si bpra.


Wakati Barcelona iko katika kiwango kizuri na hasa mshambuliaji wake, Lionel Messi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic