Kocha Pep Guardiola wa Bayern Municho
ameonyesha shabiki mkubwa wa ‘tobo’.
Jana alikuwa akiinuka na kushangilia kila
mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi alivyokuwa akiwapi ‘mitobo’ wachezaji
wa Man City wakati wa mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Alifanya hivyo kwa Fernandinho na James
Milner. ‘Mitobo’ hiyo imezua gumzo kwenye mitandao mbalimbali.
Guardiola alimfundisha Messi akiwa Barcelona kabla ya yeye kuondoka na kujiunga na Bayern Munich.








0 COMMENTS:
Post a Comment