March 26, 2015

Bondia Karama Nyilawila ametamba kuwa mpinzani wake Thomas Mashali amekimbia kwa kuwa alijua atakutana na kifo.


Nyilawila amesema hivyo baada ya Mashali kutotokea wakati wa kupima uzito kabla ya pambano lao kesho.

“Alijua kifo kinamkuta, alipiga sana kelel. Sasa yuko wapi,” alitamba Nyilawila.

Taarifa zilieleza Mashali ameshindwa kutokea kwa kuwa ni majeruhi baada ya kucheza mapambano mawili mfululizo ndani ya mwezi mmoja.


Wawili hao walitakiwa kupambana kesho katika pambano la kumaliza ubishi kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic