March 26, 2015

MALIMA AKIFURAHIA USHINDI WA SIMU YAKE MPYA AINA YA NOKIA YA KISASA KABISA...
Wanamichezo mbalimbali nchini wameshauriwa kutumia simu za Nokia ambazo ni imara zaidi.

Wameshauriwa kutumia simu hizo anaina ya Nokia Lumia 435 na Microsoft Lumia 532 kutokana na uimara lakini ubora na pia bei lahisi.
Bosi mkubwa wa Tabasamu Consaltancy, Lucy Kihwele ambao wanahusika na kufikisha ujumbe kwa jamii kuhusiana simu hizo za kisasa na bei lahisi amesema wanamichezo wanaweza kuzitumia na kufaidika nazo kama ambavyo wanajamii wengine wamekwua wakifaidika.
“Wanamichezo ni watu wanaoweza kufaidika na simu hizo bora na bei lahisi za Nokia. Kuna applications nyingi zinazhusu michezo. Kwa kifupi ni simu bora zinazompa mtumiaji kila anachohitaji.

“Utaona kumekuwa na kasi kubwa ya kuzinunua. Hii inatokana na ubora na kile watu wanachokipata. Vizuri watuw akajaribu na kuona,” alisema.
 Freddy Malima alikuwa kati ya watu wa kwanza kabisa kufanikiwa kushinda zawadi ya simu hizo mpya za Nokia ambazo sasa ni gumzo. Rasmi zilizinfuliwa Januari mwaka huu.
















0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic