March 26, 2015

MSUVA AKIRUKA DARUGA LA HARUNA SHAMTE WA JKT...
Mshambuliaji kinda wa Yanga, Simon Msuva amefikisha mabao 11 na kumvuka Didier Kavumbagu wa Azam FC.


Msuva amefunga mabao mawili katika mechi ya Yanga dhidi ya JKT wakati wakishinda kwa mabao 3-1.

Pamoja na mabao hayo, Msuva ameonyesha yuko fiti katika kiwango ambacho ni bora kabisa.
Fitness si katika kumiliki mpira pekee, lakini hali ya kujiamini, hamu ya kutaka kufunga na pia msaada kwa timu.


Uchezaji wa Msuva unaonyesha ni mchezaji aliyekamilika na anayeweza kuwa msaada kwa kikosi chake.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic