Timu ya
Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) itashuka dimbani jumapili Machi 29 mwaka huu,
kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Taifa ya Malawi (The Flames) katika
Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Mchezo
huo wa kirafiki ambao upo katika kalenda ya FIFA kwa timu za Taifa (Machi
23-31) na utatarajiwa kuanza majira ya saa 10 na nusu jioni kwa saa za Afrika
Mashariki.
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA SOKA TANZANIA
0 COMMENTS:
Post a Comment