Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe ameungana na aliyekuwa kocha
wake, Patrick Phiri na kusema kweli hakutaka yeye aachwe.
Tambwe amesema anaamini kuachwa kwake kulitokana na baadhi ya
viongozi wenye chuki na wasiojua mpira na si Phiri ambaye hivi karibuni Rais wa
Simba, Evans Aveva alisema kocha huyo Mzambia ndiye alitaka aachwe.
“Jambo hili mbona
lipo wazi, Phiri wanamsingizia kabisa wala hakuhusika kwa lolote, aliyehusika
Aveva mwenyewe anamjua, hivyo siyo busara wakamsingizia baba wa watu.”
0 COMMENTS:
Post a Comment