Mmiliki wa Chelsea, Roman Abramovich alishindwa
kuficha furaha yake leo wakati timu yake ilipoibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi
ya Manchester United.
Abramovich raia wa Urusi alionekana ni mwenye
furaha ile mbaya baada ya mechi kwisha huku akishangilia kila wakati.
Lakini hali ilikuwa tofauti kwa kocha wa zamani
wa Manchester United, Alex Ferguson aliyeoonekana mtulivu akifuatilia kila kitu
katika mechi hiyo.
0 COMMENTS:
Post a Comment