April 6, 2015


Simba imefanikiwa kulipa kisasi baada ya kuichapa Kagera Sugar kwa mabao 2-1.


Mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara imepigwa kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.

Ibrahim Ajib ndiye alikuwa wa kwanza kuifungia Simba bao la mkwaju wa penalti na Ramadhani Singano maarufu kama Messi alifunga la pili.

Bao la kufutia machozi la Kagera lilifungwa na Rashid Mandawa.


Katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara kati ya timu hizo, Simba ililala kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Da.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic