April 28, 2015

Barcelona imeonyesha imepania kumaliza La Liga kwa kasi ya kimondo na kubeba ubingwa baada ya kuitwanga Getafe kwa mabao 6-0.


Kama kawaida shukurani kwa Luis Suarez aliyefunga mabao mawili, Lionel Messi mawili na Neymar aliyefunga moja na Xavi Harnandes akamalizia moja.

Kwa ushindi huo Barcelona imefikisha pointi 84 na kuzidi kujichimbia kileleni huku Real Madrid wanaowafuatia wakiwa na 79 lakini pungufu mchezo mmoja.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic