April 12, 2015


Uongozi wa Yanga FaceBook Family umeonyesha mfano kwa makundi ya mashabiki baada ya kujitokeza na kuwatuza wachezaji wa Yanga.


Uongozi wa kundi hilo la mashabiki wa Yanga ulitoa tuzo kwa wachezaji, makocha na watu wengine wa benchi la ufundi akiwemo daktari, Juma Sufiani.
 
Utoaji tuzo hizo ulifanyika jana katika mazoezi ya Yanga kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
SALEHJEMBE inawapongeza Yanga FaceBook Family kwa uamuzi wao wa kutambua mchango wa wachezaji wao.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic