April 12, 2015

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans vand der Pluijm amesema tuzo ambazo wachezajiw ake wamepewa na uongozi wa Yanga FaceBook Family ni sehemu kubwa ya kuinua morali.


Kundi hilo liliwatuza wachezaji wa Yanga jana wakiwa mazoezini likionyesha kuthamini mchango wao.

Pluijm amesema tuzo hizo zinawasaidia wachezaji kujua wanafanya kazi kwa ajili yao lakini kuna watu nyuma yao.

“Jambo zuri, kitu kizuri mambo yafuate utaratibu na inasaidia kwa timu. Hivyo wachezaji wajitambue zaidi ya hapo kuwa kuna watu nyuma yao,” alisema.


Pluijm ni kati ya waliopewa tuzo hiyo kutokana na mchango wake katika kikosi hicho ambacho sasa kinaelekea kubeba ubingwa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic