April 3, 2015

Timu ya soka ya Kampuni ya Global Publishers, Global FC, imepata mwaliko wa kushiriki katika Bonanza la Siku ya Wafanyakazi, Mei Mosi 2015, linalotarajiwa kufanyika huko Bagamoyo, Pwani.


Hii ni mara ya pili kwa Global kualikwa kwenye bonanza hilo ambalo hufanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Kilomo, Bagamoyo.

Mratibu wa bonanza hilo, Joseph Ngunangwa ambaye ni mwalimu kitaaluma, amesema mikakati yote ya siku hiyo maalum kwa wafanyakazi wote duniani.


“Bonanza litafunguliwa rasmi saa nane mchana, lakini ukiachana na mechi hiyo pia kutakuwa na fursa ya kujumuika katika michezo mingine inayoweza kujenga afya na kufurahia kwa pamoja,” alisema Ngunangwa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic