April 24, 2015


Ratiba ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imetangazwa leo baada ya droo kufanyika.


Mabingwa watetezi Real Madrid wamepangiwa kukipiga na Juventus wakati utamu zaidi uko katika mechi ya pili ambayo inawakutanisha Barcelona dhidi ya Bayern Munich.

Mechi ya Madrid inaonekana kutokuwa gumzo zaidi kwa kuwa Juventus haipewi nafasi sana.

Lakini Barcelona na Bayern ndiyo gumzo na kila mmoja anataka kujua nani nakwenda fainali.


Mechi mbili za mwanzo za nusu fainali zitapigwa Mei 5 na 6 na timu hizo zitarudiana Mei 12 na 13.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic