Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der
Pluijm ameamua kumpumzisha kipa wake, Ally Mustapha ‘Barthez’.
Katika mechi yao leo kati ya Yanga
dhidi Stand United kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, Deogratius Munish ‘Dida’
ndiye atakayeanza.
Dida amekuwa akisubiri katika benchi
kwa muda mrefu sasa na leo atakuwa na kazi ya ziada kuendelea kumshawishi
Pluijm ambaye ni kipa wa zamani mahiri.
Barthez akichemka gori la watunisia
ReplyDelete