May 30, 2015

Hatimaye bondia Kiatchai Singwancha kutoka Thailand amekubali kupanda ulingoni kuzichapa na Francis Cheka.


Singwacga aligoma kpigana kwa madai alikuwa hajhamaliziwa fedha zake.

Awali aligoma kutoka hotelini, lakini baadaye akakubali na kufunga safari hadi nje ya Ukumbi wa PTA ambako alibaki kwenye gari hadi alipomaliziwa fedha na kuamua kuingia ulingoni, game inaendelea.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic