May 12, 2015

 
Bayern Munich imefanikiwa kulipa kisasi kwa kuifunga Barcelona kwa mabao 3-2 katika mechi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.


Lakini hiyo haijaipa nafasi ya kucheza fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya itakayopigwa jijini Berlin Juni 6 na Barcelona ndiyo wanakwenda.

Barcelona wamevuka kwa jumla ya mabao 5-3 kutokana na ushindi wa mabao 3-0 wakiwa nyumbani Camp Nou katika mechi ya kwanza.





















0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic