May 2, 2015

 Beki wa zamani wa Manchester United na England, Rio Ferdinand amewasikitisha wapenda soka wengi baada ya kuthibitisha kifo cha mkewe Rebecca.


Rio amesema mwili wa Rebecca umepumzika kwa amani jana kutokana na ugonjwa wa kansa.

Rebecca ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 34, ameacha watoto watatu aliozaa na mumewe huyo aliyekuwa beki mahiri.

Rio ambaye sasa anakipiga QPR ameeleza kusikitishwa na kifo hicho kwa kuwa Rebecca alikuwa mtu muhimu sana katika maisha yake.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic