May 12, 2015

 Picha za kuvutia Steven Gerrard akiwa na mkewe Alex katika kampeni maalum ya Carribean iliyofanywa na Shirika la Ndege ya Uingereza maarufu kama British Airways.

Gerrard na mkewe walikuwa kama wanasafiri na huenda picha hizo zilizua maswali mitandaoni, wengi wakiamini ndiyo alikuwa anaondoka.
Wakati wa majira ya joto, Gerrard ataondoka England kwenda kujiunga na LA galaxy ya Marekani ikiwa ni miaka 17 ya kuichezea Liverpool.

Tayari tiketi kwa ajili ya mechi ambayo Gerrard ataagwa zimeanza kuuzwa na wengi wamekuwa wakijitokeza.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic