May 12, 2015

NYUMBA YAKE AMBAYO AMEIINGIZA SOKONIMshambukiaji nyota na kinda wa Liverpool, Raheem Sterling ameanza maandalizi ya kuipiga bei nyumba yake.


Sterling yuko katika maandalizi ya kuipiga bei nyumba yake jijini Liverpool na inaelezwa ameanza kutafuta nyumba jijini London.
Uamuzi wa kutaka kuiuza nyumba hiyo na kuanza kutafuta nyingine jijini London ni dalili kwamba kweli anakaribia kuondoka na kujiunga na kati ya timu mbili; Chelsea au Arsenal.

Kinda huyo kwenye miaka 20 amehusishwa na kujiunga na timu hizo mbili za London mara tu baada ya kukataa ofa ya Liverpool ya pauni 90,000 kwa wiki.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic