NDEMLA AKISAINI MKATABA WA MIAKA MITATU KUICHEZEA SIMBA MBELE YA RAIS WA KLABU HIYO, EVANS AVEVA, LEO. |
Ndemla
amesaini mkataba wa miaka mitatu mingine kuendelea kuichezea Simba ambayo
amekuwa akiitumikia kama mchezaji kinda.
Awali
kulikuwa na taarifa za Ndemla kuwaniwa na Yanga baada ya kusikia amebakiza
mwaka mmoja tu na Simba.
Lakini
Msimbazi, wameifuta ndoto hiyo baada ya kuhakikisha Ndemla anaendelea kubaki
Msimbazi zaidi na zaidi.
0 COMMENTS:
Post a Comment