Kamati ya
Utendaji ya TFF imemteua Boniface Wambura kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Bodi
ya Ligi Kuu nchini kuanzia tarehe 01, Juni 2015.
Wambura
kabla ya uteuzi huo alikua mkurugenzi wa mashandano TFF.
TFF
inampongeza Wambura kwa uteuzi na inaamini atatoa mchango mzuri katika kukuza
na kuzitangaza ligi zetu.
Kamati ya
utendaji imemteau Martin Chacha (mratibu wa timu za Taifa) kukaimu nafasi ya
mkurugenzi wa mashandano TFF.
0 COMMENTS:
Post a Comment