June 13, 2015


Na Fahad Ally, Mwanza
Ilala wameibuka mabingwa wa michuano ya taifa ya watoto chini ya miaka 13 baada ya kuwachapa wenyeji Alliance kwa mabao 3-2.


Katika mechi hiyo ya kuvutia kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa, Alliance ndiyo walitangulia kupata bao.

Lakini Ilala walitulia na kuonyesha soka safi kabla ya kusawazisha na mapumziko timu hizo zilienda sare.

Katika kipindi cha pili, ilala walifanikiwa kupata mabao mawili na Alliance wakapata moja hivyo kufanya matokeo ya mwisho kuwa 3-2.

CHEKI MAPICHA YA ACTION

















0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic