Kocha mpya wa Simba,
Dylan Kerr amesema atahitaji muda kidogo kukisuka kikosi chakje.
Kerr raia wa Uingereza
amesema atafanya kila linalowezekana kuhakikisha kikosi chake kinakuwa bora
lakini lazima apewe muda.
“Kazi ya ukocha kawaida
inahitaji muda, inahitaji uone, utafakari na kuchukua uamuzi.
“Hivyo suala la muda
halikwepeki ingawa katika soka mambo huenda taratibu,” alisema.
Kerr ametua nchini jana
na tayari yuko katika hatua za mwisho kuanza mikakati ya kuanza kazi.
0 COMMENTS:
Post a Comment