STERLING:
Man City imekuwa ya kwanza kuweka wazi kwamba inamtaka
kiungo wa Liverpool, Raheem Sterling kwa pauni milioni 25 na itaongeza juu yake
pauni milioni 5 zaidi. Lakini Liverpool imegoma na kusisitiza inataka ‘dabo’.
Pamoja na Man City, Chelsea, Arsenal na Real Madrid
nazo zimeonyesha nia za kumnasa Mwingereza huyo mwenye asili ya Jamaica.
Pogba:
Wakati ilionekana kama atatua Madrid, wapinzani wao
Barcelona wameeleza wazi kutaka kumnasa Paul Pogba.
Tayari Juventus imeishaweka dau na kusema inataka
pauni milioni 55.
Madrid imeendelea kusisitiza inamtaka kipa David De
gea kwa pauni milioni 30 na Chelsea nayo imeonyesha nia ya wazi kwa
mshambuliaji Radamel Falcao.








0 COMMENTS:
Post a Comment