June 17, 2015

Makocha wawili Waholanzi, Hans van der Pluijm wa Yanga na Mart Nooij wa Taifa Stars leo wamekutana na kubadilishana mawazo hadharani.

Wawili hao walikutana wakati timu zao zikifanya mazoezi kujiandaa na michuano ya kimataifa.

Kikosi cha Taifa Stars, kimeendelea kujifua kwa ajili ya mechi zake za kuwania kucheza Chan.
 
Wakati Yanga inajiandaa na michuano ya Kagame pamoja na msimu mpya wa 2015-16.

Yanga ndiyo walianza, Stars wakawasili na Waholanzi hao wakapata nafasi angalau ya kubadilishana mawazo.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic