July 19, 2015

 Azam FC imeshinda mechi yake ya kwanza ya michuano ya Kagame kwa kuichapa KCC ya Uganda kwa bao 1-0.


Lakini picha hii, kiungo wa Azam FC, Frank Domayo akipambana na mshambuliaji Joseph Ochaya wa KCC, ndiyo bomba zaidi.

KCC ni timu inayomilikiwa na Manispaa ya Jiji la Kampala.

Maana waliruka wote juu, Ochaya akiwa juu zaidi wakati anashuka ‘akasimama’ kwenye bukta ya Domayo kabla ya wote wawili kwenda chini kwa staili ya aina yake. Cheki mwenyewe.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic