MGOSI KATIKA MECHI YA LEO |
Siku chache baada ya kung’ara katika mechi ya
Simba Day, nahodha wa Simba, Mussa Hassan Mgosi amerejea mchangani na kufanya
yake.
Mgosi amefunga bao pekee wakati Faru Jeuri
ikiizamisha Stakishari kwa bao 1-0 katika mechi ya michuano ya Kombe la Ndondo.
Licha ya mabeki kuhakikisha wanamzuia katika
mechi hiyo kwenye Uwanja wa Bandari Tandika jijini Dar, Mgosi alikuwa msumbufu
na kufanikiwa kuibuka shujaa.
0 COMMENTS:
Post a Comment