Chelsea imeipiku Manchester
United katika mbio za kumsajili kiungo mwenye kasi wa Barcelona, Pedro na leo anafanyiwa vipimo vya afya.
Chagua utakavyomuita
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho kuwa ni msela au mhuni, maana fasta amempigia
simu Pedro yeye mwenyewe na kumshawishi atue darajani, dogo amekubali.
United baada ya
kushindwa, sasa imehamishia nguvu zake kwa mshambuliaji mwenye kasi wa
Southampton, Sadio Mane.
Chelsea iko tayari
kumwaga pauni milioni 21.1 kumnasa Pedro na itaanza kutanguliza pauni milioni
19.
0 COMMENTS:
Post a Comment