![]() |
| MFUNGAJI PEKEE WA BAO LA SIMBA, HAMIS KIIZA AKIPAMBANA NA MLINZI WA AFRICAN SPORTS 'WANA KIMANUMANU'.... |
Kama
ulizoea kuiona Simba ikianza Ligi Kuu Bara kwa sare mfululizo, basi si safari
hii.
Hauna
haja ya kubisha kwa kuwa Wekundu hao wa Msimbazi, wameanza mechi yao ya kwanza kwa
kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya African Sports iliyokuwa nyumbani kwenye
Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga. Cheki Pichaz za action.















0 COMMENTS:
Post a Comment