November 4, 2015


Na Mwandishi Wetu, Johannesburg
Mshambuliaji wa Stand United, Elius Maguli rasmi ametua jijini Johannesburg na kujiunga na Taifa Stars.


Maguli amejiunga na kikosi hicho chini ya Kocha Charles Boniface Mkwasa na kuanza mazoezi.

Mara tu baada ya kujiunga na wenzake, Maguli alipewa dakika 45 tu za kupumzika kabla ya kuungana na wenzake mazoezini.

Maguli alichelewa kujiunga na kikosi hicho baada ya kulazimika kubaki nchini aitumikie Stars United iliyokuwa ikiivaa Mgambo.


Katika mechi hiyo Maguli alifunga bao pekee lililoipa ushindi wa hiyo bao 1-0.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic