November 4, 2015


Na Mwandishi Wetu, Johannesburg
Kiungo Mshambuliaji wa Free State Stars, Mrisho Ngassa naye amejiunga na kikosi cha Taifa Stars kilicho mazoezini jijini Johannesburg.


Ngassa alichelewa kujiunga na kambi hiyo kwa kuwa alikuwa akiichezea timu yake katika mechi ya Ligi Kuu frika Kusini.

Ngassa amejiunga na wenzake na mara moja ameanza mazoezi akiwa na kikosi cha Stars kinachojiandaa kucheza na Algeria.


Stars itaivaa Algeria kuwania kucheza Kombe la Dunia katika mechi inayotarajiwa kuwa ngumu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic