November 5, 2015


Chelsea imeibuka na kushinda kwa mabao 2-1 dhidi ya Dynamo Kiev ya Ukraine na kuifanya ifikishe pointi 7 na kushinka nafasi ya pili kundi G nyuma ya FC Porto yenye pointi 10.


Ushindi huo  wa Arsenal ikipata bao la pili kupitia kwa kiungo wake Mbrazil, William kumeamsha matumaini kuwa Chelsea inaweza kurejea Ligi Kuu england na kuanza kushinda, ingawa leo ilipata bao la kwanza baada ya Kiev kujifunga.

Chelsea: Begovic; Azpilicueta, Zouma, Terry, Baba Rahman; Ramires, Matic; Willian, Fabregas, Oscar; Diego Costa.
Subs: Blackman, Cahill, Loftus-Cheek, Kenedy, Hazard, Pedro, Remy.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic