November 8, 2015

MADKTARI WAKIMHUDUMIA TSHABALALA

Beki wa pembeni wa Taifa Stars, alipumzishwa kwa muda baada ya kugongana na mwenzake.


Tshabalala ambaye ni beki wa Simba ni kati ya wachezaji walio katika kambi ya Taifa Stars hapa jijini Johannesburg.

Baada ya kugongana na mwenzake, madaktari wote wawili walio hapa kambini walimfanyia uchunguzi na kuona yuko katika hali nzuri.


Lakini alipumzishwa kidogo na kesho anatarajia kuendelea na mazoezi na wenzake kwa kuwa leo timu haikufanya mazoezi baada ya mapumziko ya siku moja tokea itue hapa siku sita zilizopita.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic