November 8, 2015

KAPOMBE AKIWA AMEPUMZIKA WAKATI WENZAKE WANAENDELEA NA MAZOEZI. ALIYEKAA NAYE NI MRATIBU W ATAIFA STARS, MSAFIRI MGOYI. BEKI HUYO ANAREJEA MAZOEZINI KESHO.
Beki Shomari Kapombe amepumizishwa katika mazoezi ya juzi baada ya kugongana na mwenzake akiwa mazoezini.


Jopo la madaktari wa Taifa Stara walio hapa Johannesburg, Afrika Kusini waliamua kumpumzisha Kapombe kwa siku mbili.

Lakini Kapombe ambaye ni beki wa Azam FC anatarajia kuanza mazoezi na wenzake kesho baada ya mapumziko ya timu nzima jana.


Stars imekuwa ikijifua kwa nguvu kujiandaa na mechi dhidi ya Algeria Novemba 14.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic