December 10, 2015




Rais John Pombe Magufuli amemteua Nape Nnauye kuwa Waziri wa Utamaduni, Habari, Wasanii na Michezo.

Nape ambaye ni mbunge wa jimbo la Mtama (CCM), ameteuliwa kwa mara ya kwanza kuwa waziri.
Rais Magufuli amemtaja Annastazia Wambura kuwa naibu waziri katika wizara hiyo.


Kwa mara ya kwanza chini ya Rais Magufuli, wizara hiyo imeongezewa kitengo cha wasanii ambacho hakikuwepo katika awamu ya nne.

Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi, Utawala bora
Simbachawene, Angela Kairuki, Jafu

Makamu wa Rais, Muungano, Mazingira
January Makamba, Luhaka Mpina

Waziri mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na walemavu
Mhagama, Poss Abdallah, Mavunde

Kilimo, mifugo na Uvuvi
Mwigulu Nchemba, William Ole Nasha

Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
HAJAPATIKANA, Injian Edwin Ngoyani

Fedha na Mipango
HAJAPATIKANA, Dk Ashanti Kijaji

Nishati na Madini
Dk Mwijarubi Mhongo, Medadi Karemanya

Matibabu
Dk Mwakyembe

Mambo ya Nje, Ushirikiano Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa
Dk Augustine Mahiga, Dk Suzan Kolimba

Ulinzi, Jeshi la kujenga ataifa
Dk Hussein Mwinyi

Mambo ya Ndani
Charles Kitwanga

Ardhi, Nyumba Maendeleo ya Makazi
William Lukuvi, Angelina Mabura

Maliasili na Utalii
HAJAPATINA, Injiani Lamo Makami

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic