![]() |
| OMARY KATANGA, BOSI WA KITENGO CHA HABARI DRFA |
Michuano ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam kwa msimu wa mwaka 2015/2016 inaanza kutimua vumbi siku ya jumatatu desemba 21,kwa michezo minne kupigwa katika viwanja tofauti.
Timu ya Sifapolitan wataikaribisha timu ya Ninja, Katika uwanja wa S/msingi kigamboni,timu ya Inter Milan watacheza dhidi ya timu ya Red Coast katika uwanja wa M/nyamala,timu ya Kijitonyama watakipiga dhidi ya Azania Ngano kwenye uwanja wa Kunduchi,huku timu ya Mkunguni wakioneshana ubabe dhidi ya timu ya Magereza kwenye uwanja wa Magereza.
Ligi hiyo ya mkoa wa Dar es salaam inashirikisha jumla ya timu 32 zilizopangwa a katika makundi manne, ambapo kila kundi linaundwa na timu 9,zitakazomenya kusaka washindi watatu kila kundi watakaoingia kucheza hatua ya pili,na washindi watatu wa jumla watakaopatikana,majina yao yatapelekwa Tff kwaajili ya kushiriki michuano ya ligi ya mabingwa wa mikoa.
Kamati ya mashindano ya chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA,imethibitisha kukamilika kwa maandalizi yote ya ligi hiyo,ikiwa ni pamoja na kuzipa kanuni na taratibu klabu zote zinazoshiriki.
DRFA ina imani kuwa kama ilivyokuwa katika misimu iliyopita,mashindano hayo yataleta ushindani wa kweli na hatimaye kuwajenga kiuwezo wachezaji watakaojihakikishia kupata nafasi katika vilabu vinavyoshiriki ligi daraja la kwanza na ligi kuu hapo baadaye.
CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU MKOA WA DARES SALAAM (DRFA)
RATIBA YA LIGI YA MKOA DSM MSIMU 2015 /2016
|
TAREHE
|
TIMU
|
UWANJA
|
M NO
|
KUNDI
|
|
21.12.2015
21.12.2015
21.12.2015
21.12.2015
|
Sifapolitan Vs Ninja
Interm millan Vs Red coast
Kijitonyama Vs Azania ngano
Mkunguni Vs Magereza
|
S/M KIGAMBONI
MWANANYAMALA
KUNDUCHI
B.MKAPA
|
M 01
M 02
M 03
M 04
|
A
A
A
A
|
|
|
|
|
|
|
|
22.12.2015
22.12.2015
22.12.2015
22.12.2015
|
Kimiani Vs Tuamoyo
Panama Vs Beirahotspurs
Sifa utd Vs Nyota Africa
Simba u20 Vs Makumba
|
S/M KIGAMBONI
MWANANYAMALA
B.MKAPA
KUNDUCHI
|
M 05
M 06
M 07
M 08
|
B
B
B
B
|
|
|
|
|
|
|
|
23.12.2015
23.12.2015
23.12.2015
23.12.2015
|
Temeke Vs Davis Carne
Ugimbi Vs Mbudya
New kunduchi Vs Vijana rangers
Pan Africa Vs Zimamoto
|
BANDARI
MWANANYAMALA
KUNDUCHI
B.MKAPA
|
M 09
M 010
M 011
M 012
|
C
C
C
C
|
|
|
|
|
|
|
|
24.12.2015
24.12.2015
24.12.2015
24.12.2015
|
Shababi Vs Msufini
Kumbukumbu Vs Makumbusho
Stakishari Vs Gonga
Segerea Utd Vs Aggrey
|
S/M KIGAMBONI
MWANANYAMALA
BANDARI
B.MKAPA
|
M 013
M 014
M 015
M 016
|
D
D
D
D
|
|
|
|
|
|
|
|
27.12.2015
27.12.2015
27.12.2015
27.12.2015
|
Sifapolitan Vs Sharif Stars
Ninja Vs Inter Milen
Red coast Vs Kijitonyama
Azania ngano Vs Aggrey
|
BANDARI
S. KIGAMBONI
MWANANYAMALA
B.MKAPA
|
M 017
M 018
M 019
M 020
|
A
A
A
A
|
|
|
|
|
|
|
|
28.12.2015
28.12.2015
28.12.2015
28.12.2015
|
Vijana -Ilala Vs Kimiani
Tuamoyo Vs Panama
Beira hotspurs Vs Sifa utd
Nyota Africa Vs Simba u20
|
B.MKAPA
BANDARI
MW/NYAMALA UKOMBOZI
|
M 021
M 022
M 023
M 024
|
B
B
B
B
|
|
|
|
|
|
|
|
29.12.2015
29.12.2015
29.12.2015
|
||||








0 COMMENTS:
Post a Comment