December 10, 2015


Klabu ya Majimaji yenye makao yake makuu mjini Songea imefanikiwa kumsajili mshambuliaji mkongwe nchini, Danny Mrwanda.


Mrwanda aliyewahi kukipiga na kung’ara akiwa Simba, imeelezwa amesaini mkataba mfupi na Majimaji.

Kocha Msaidizi wa Majimaji, Hassan Banyayi amesema Mrwanda amesajiliwa ili kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji.


Kabla ya kwenda Majimaji alikuwa anakipiga Yanga ambayo ilimsajili kutoka Polisi Moro.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic