December 10, 2015


 Hadi sasa kikosi bora cha Premier League kinaonekana kuwa hicho unachkiona.



Lakini mambo yanaonekana kuwa si mazuri kwa vigogo wengi na wachezaji wengi wa timu vigogo.

Utaona Chelsea haina mchezaji hata mmoja wakati ilikuwa ikitawala kikosi hicho kwa miaka sita sasa.

Vigogo wengine Liverpool na Manchester United nao walewale, hawana mchezaji wakati timu kama  Leicester City imeingiza wachezaji wawili katika first eleven ambao ni Jamie Vardy na Riyad Mahrez.

 

Arsenal inaonekana kuwa bomba kabisa kwani nayo imeingiza wachezaji wawili ambao ni kipa mkongwe Petr Cech na kiungo nyota Mesut Ozil.

Everton nayo ina wachezaji wawili ambao ni washambuliaji Romelu Lukaku na Ross Barkley.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic