January 7, 2016



Nyota wa Tanzania, Mbwana Samatta akiwa na mshambuliaji nyota wa Borussia Dortmund ya Ujerumani na timu ya taifa ya Gabon, Pierre Aubameyang walipokutana jijini Lagos, Nigeria hivi punde kabla ya kuanza kwa tamasha la kuwatuza wanasoka bora Afrika.

Samatta anawania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika anayecheza soka barani Afrika wakati Aubameyang anawania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika akichuana na mtetezi wa tuzo hiyo miaka mitatu mfululizo, Yaya Toure na Andre Ayew.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic