August 23, 2016

Yanga inatarajiwa kuwa mgeni wa TP Mazembe, leo jijini Lubumbashi katika mchezo wa kukamilisha ratiba wa Kundi A katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, saa tisa na nusu alasiri.



Yanga itaingia uwanjani ikiwa na beki wake, Hassan Kessy ambaye itakuwa ni mechi yake ya kwanza kucheza akiwa na timu hiyo katika michuano ya kimataifa lakini itakuwa kama kukamilisha ratiba tu kwa kuwa haina nafasi ya kusonga mbele.



KIKOSI KINACHOANZA HIKI HAPA
Deo Munishi
Hassan Kessy
Mwinyi Haji
Andrew Vincent
Mbuyu Twite
Juma Makapu
Simon Msuva
Thabani Kamusoko
Amissi Tambwe
Deus Kaseke
Haruna Niyonzima

WALIOPO BENCHI
Beno Kakolanya
Oscar Joshua
Pato Ngonyani
Juma Mahadhi
Mateo Anthony

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic