December 14, 2016



Mshambuliaji Juma Luizio wa Zesco ya Zambia ametua nchini usiku na kuna taarifa zinaeleza anaweza kujiunga na Simba kwa mkopo.

Luizio alikuwa chini ya Kocha George Lwandamina ambaye sasa amejiunga na Yanga.

Taarifa zinaeleza, Luizio amekubali kujiunga na Simba kwa mkopo ili kuboresha kiwango chake.


Mtanzania huyo amekosa namba ya kudumu katika kikosi cha Zesco chini ya Lwandamina.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic