BAADA YA AZAM FC KUITWANGA ZIMANIMOTO, AZAM FC YAENDELEA KUJIFUA Baada ya kufanikiwa kuichapa Zimamoto bao 1-0 jana jioni, kikosi cha Azam FC leo asubuhi kimeendelea na maandalizi zaidi kujiandaa na mchezo mwingine wa kesho Jumatano wa michuano ya Kombe la Mapinduzi, ikicheza dhidi ya Jamhuri saa 2.15 usiku.
0 COMMENTS:
Post a Comment