January 27, 2017




Sasa ni uhakika kwamba Simba itamkosa kiungo mshambuliaji wake, Mohammed Ibrahim katika mechi dhidi ya Azam FC.

Mo Ibrahim aliumia katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Yanga.

Lakini akarejea mazoezini na kuanza na kujifua na wenzake, lakini juzi alijitonesha tena kifundo cha mguu.

Kutokana na hali hiyo, ataikosa mechi ya kesho wakati Simba inaivaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic