February 4, 2017




Kiungo nyota duniani, Ronaldinho amerejea Barcelona safari hii akiwa balozi wa klabu.

Ronaldinho ametambulishwa tena kwenye Uwanja wa Camp Nou jijini Barcelona akiwa kama balozi wa klabu hiyo.


Raia huyo wa Brazil ni kati ya wachezaji waliofanya vizuri sana wakati wakiitumikia Barcelona.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic