Kikosi cha Yanga kimetua salama nchini Comoro ikiwa ni maandalizi ya mechi yao ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Yanga itacheza na wenyeji Ngaya ambao wanaelezwa kuwa wameimarika na soka la Comoro limekuwa likipanda.
Hata hivyo, Kocha Mkuu wa Yanga, George Lwandamina amesema wako makini na hawatafanya mzaha.
0 COMMENTS:
Post a Comment