May 14, 2017


Cristiano Ronaldo amefikisha mabao 401 wakati alipoifungia Real Madrid mabao mawili wakati ikiitwanga Sevilla kwa mabao 4-1 katika mechi ya La Liga.


Nacho na Kroos ndiyo waliofunga mabao mengine mawili lakini Ronaldo pamoja na kusaidia ushindi huo, ameendelea kupaa kwa ufungaji katika klabu hiyo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic